
Radio Rahma ni kituo cha redio cha Kiislamu kinachotangaza kutoka Mombasa, Kenya. Kinatoa habari za dini, mafundisho ya Kiislamu, na mazungumzo mbalimbali. Kinasikika katika masafa ya 91.5 FM Mombasa na Lamu, 91.3 FM Malindi, na 91.9 FM Garissa.

Radio Rahma ni kituo cha redio cha Kiislamu kinachotangaza kutoka Mombasa, Kenya. Kinatoa habari za dini, mafundisho ya Kiislamu, na mazungumzo mbalimbali. Kinasikika katika masafa ya 91.5 FM Mombasa na Lamu, 91.3 FM Malindi, na 91.9 FM Garissa.