
001 FM ni kituo cha redio cha mtandaoni kinachotangaza kwa Kiswahili na Kiingereza, chenye makao yake Mombasa, Kenya. Kilianzishwa mwaka 2021 na kikundi cha vijana wenye bidii na vipaji. Slogan yake ni 'Uketo wa Mwambao' ikilenga kuleta mchanganyiko wa habari, burudani na muziki kutoka pwani ya Kenya.