
Swahili Dishes Podcast
Podcast hii inaongozwa na Faiza na Mkamburi, ikilenga kuvunja dhana potofu kuhusu jamii ya pwani ya Kenya na utamaduni wao kupitia mazungumzo ya kuburudisha. Inazungumza kwa Kiswahili pekee.
Episodes
Mkiolewa Msijiachilie
Kujiachilia inamaanisha nini haswa? Jumuika nasi tufafanue njia tofauti zinzazoashiria kuwa umejiachilia kwenye mahusiano.
Madhara ya Kuchanganya Mahaba na Biashara
Leo tunakuonya kuhusu madhara ya kufanya biashara na mpenzi wako. Je kuna mipaka unayoeza kueka kuhakikisha hutaadhirika mnapokosana?
Work Wife na Work Husbands, Mahusiano Kazini yana Faida Gani?
Ukumbi kwenye kipindi hiki tunawapa kina work wife na work husband.
Je Content Creation Inalipa?
Kama una mwanaharakati unayempenda ama wataka kuanza kufanya content kuna vitu muhimu lazima ujue.
Masaibu Kazini! Toxic Work Environment
Umewahi kufanya kazi mahali ukaanza kukonda kwa stress?
“Ka Meza Fee” Ni Nini?Na Umuhimu Wa Mwanaume Kumpa Mke Wake Hio Ka Meza Fee Ni Gani?
Kuna mila kwenye familia za uswahilini ambazo zimewezesha wanawake kushughulikia familia zao bila stress.
Mwanaume Akiwa na Hela Kuwa Ready Kumkaribisha Mke Mwenza
Mwanaume Mwenye Pesa Anaweza Kua Mwaminifu Kwa Mwanamke Mmoja?
Athari Za Kulea Mwanaume!
Tumeskia mara nyingi sana kuwa wanaume huwa hawafai kuhurumiwa.
Je madhara huwa gani?
When A Poor Man Marries Rich! Ni Makosa Ama Itamfaidi?
Episode hii inaendeleza kipindi cha wiki iliyopita. Je, kama ni mkaka maskini, mambo yatamuendeaje?
“Marrying Rich” Mdada Maskini Kuolewa Na Mkaka Tajiri/Pros&Cons
Kuna changamoto au faida yoyote kwenye mahusiano kama haya?
“A Cheating Provider!” Utaondoka Ama Utabaki?
Kwenye episode Hii tunachambua mahusiano kati ya davido na mke wake chioma.
“My Man Forced Me To Unfollow Rafiki Zangu Wa Kiume From My Social Media Pages!”
Je,umeweka mipaka gani kwenye mahusiano yako?
"My Man Hanitoshelezi Kitandani!"
Kama ni wewe ungefanyaje?
"Alitumia Pesa Zangu Kuspoil Baby Mama Wake!"
Kwenye episode hii tunampa ushauri dada huyu.
"My Rich Mzungu Boyfriend Dumped Me Kwa Sababu Mimi ni Lightskin"
Sikiza hii kabla hujanunua mkorogo.
Utajuaje Huo Mkahawa ni Ghali?
Skiza kipindi hiki kabla hujajiaibisha kwenye mikahawa mjini.
Wanawake Wanaoteseka Kwenye Mahusiano Hufanya Makosa Haya
Tunawapa ushauri dada zetu ambao wamechoka kuteseka kwenye mahusiano.
Best na Worst (QnA Challenge)
Kipindi hiki tunaulizana maswali ya kuchangamsha kuhusu utotoni, shule na mahusiano.
Siri za Wanamitindo/Ma Influencer Exposed!
Tuangalie maisha ambayo wanamitindo wako unaopenda wanaishi
"Nampa Girlfriend Yangu Pocket Money ya 20k Kila Mwezi" Kaka Ian
Mahusiano yanagharimu Pesa siku hizi lakini kwa wale amabao hela hawana, wanatumia mbinu gani kimapenzi.
Utajuaje Yeye ni Dume Suruali?
Kipindi hiki tunachambua vijitabia vinavyomfanya atambulike kama Dume Suruali!
Madhara ya Silent Treatment Katika Mahusiano
Watu wengi hutumia silent treatment kuadhibiana kwenye mahusiano, lakini madhara yake ni makubwa.
Nilimpigia Simu Saa Nne za Usiku Ikashikwa na Mke Mwenza!
Masaibu ya mpenzi kupata msaidizi bila kujulishwa.
Ni Sawa Kuingia Kwenye Mahusiano na Ex Wa Rafiki Yako?
Kuna sheria masharti na mipaka ambayo haipaswi kuvukika kati ya marafiki wawili lakini tuangalie kama inawezekana.
Mahusiano Nje Ya Dini Yako? Utafanikiwa Au La?
Katika Maswala ya mahusiano na watu ne ya dini yako kuna changamoto gani?
Red Flags Tunazopenda Kisirisiri
Red flags nyingine hubadilika zikawa kijani,
Nilinyanyaswa Kwenye Ndoa Yangu Nchini Nigeria: Stori ya Dada Lina
Jumuika nasi na dada Lina akitusimulia maisha yake kwenye ndoa iliyomdhalilisha nchini Nigeria.
Ni Lazima Kumposti Mpenzi Wako Mtandaoni
Kwenye kipindi hiki tunachambua sababu tofauti za watu kuanika wapenzi wao mitandaoni.
Huyo Mrembo Amesinywa na Wewe!
Kama wadhani upendo bado uko, jitahadhari kaka.
Character Development
Episode tamu kabisa tunasoma comments za mashabiki wetu plae tiktok!
Huyo ni Mwanaume Insecure
Jitahadhari na mwanaume mwenye tabia hizi!
Kama Bibi Yako ni Breadwinner, Tafakari Haya!
Kuna masharti fulani lazima utimize bila kulalamika kama bibi yako ndio kichwa cha nyumba!
Madharau Ndogo Ndogo
Hufika wakati kwenye mahusiano ambapo wahusika hufanyiana vijimadharau vidogo vidogo vya kuudhi badili ya kukata mahusiano na kuachana.
"Mume Wangu Anaongea Na Rafiki Yangu!" Nifanyeje?
Tunatoa ushauri kwa dada aliyetuma message kuhusu masaibu ya mahusiano yake.
Wanawake Wanajua Kudanganya Kushinda Wanaume
Kuna vijiuongo fulani wanawake wamezoea kusema katika mahusiano. Tuangalie aina kadhaa.
Sisi ni Marafiki Tu!
Je Wanaume na wanawake wanaeza kuendeleza urafiki bila mahusiano?
Usijiaibishe Bana!
Tunaangalia njia tofauti unaweza kujiaibisha ukiwa kwenye date!
Dame Wako Anacheati? Zingatia Ishara Hizi
Epiosde hii tunawachanua kaka zetu kwa sababu siku hizi mahusiano yamekuwa kizungumkuti.
Njia Tofauti Wanaume Hudanganya Wapenzi Wao (Common Lies Men Tell)
Ukiona vyaelea, jua vimeundwa,.Msemo huu hutumika tofauti lakini ukisikia uongo unaotumika na wanaume wengi jua ni kwa sababu unafanya kazi. Episode hii ni onyo kwa wanawake.
Ushawahi Kughostiwa na Mwanamke? Jua Kwa Nini Ulikula Block!
Mapenzi yana changamoto lakini mwanamke akiamua kughosti jua kuna issue muhimu ya kuzingatia.
Je Kuna Wachumba Kwenye DMs? (Reading Each Other's DMs)
Jumuika nasi tukisoma DMs zetu, nani atakayebahatika na mapenzi ya dhati?
Ulinitumia Vibaya!
Ushawahi kuekwa parking kwenye mahusiano?
Mwanaume Hapaswi Kulala kwa Wakwe Zake! QnA
Kulingana na mila na desturi kuna vitu amabavyo havikubaliwi. Ungana nasi kwenye QnA ya kusisimua akili na mbavu!
Mwanamke Akikuweka Friend Zone Wafaa Kujua Haya
Kama wewe ni mwanaume unayejaribu kutoka kwa friend zone, tega sikio.
Kwa nini Wanawake Wanachepuka Wakipata Wanaume Wazuri
Ushawahi kuona mwanamke anayependwa kwa dhati na mwanaume wake akicheati? Huwa kuna sababu tofauti...
Playing Hard to Get Ina Faida?
Tujumuike kwenye QnA mambo ni dating episode hii.
Utatafuta Mchumba Kanisani ama Klabu?
QnA session
Mashemeji Walipwe?
QnA
Kitchen Party Hoyee!
Kama bibi arusi mtarajiwa, ungetaka kitchen party aina gani?
Utajuaje Una Date Mwanaume Gold Digger?
Tafuta karatasi na kalamu, darasa limeanza!
Utalipa Fare?
Jumuika nasi kwenye mchezo wa maswali na majibu.
Punguza Hasira!
Hasira hasara. Mapenzi yahitaji utaratibu fulani spesheli!
Vitu Attractive Wanaume Wanafanya
Mbali na sura ama hela, kuna vitu fulani wanaume hufanya ambavyo vinavutia sana.
Pressure Za Kuolewa Zimezidi!
Je kuna umri mwafaka ambao mtu lazima aoe ama aolewe? Na ni lazima mtu aolewe kulingana na matarajio ya jamii?
Utajuaje Dame Yako Amechoka Na Wewe?
Tunajua wanawake wamepata ushauri kuhusu kutunza wanaume, tushachoka na mada hiyo na leo tunawapa wanaume ushauri. Tega sikio!
Aina Mbili za Cheating/Kuchepuka na Gani ni Mbaya Zaidi
Watu huwa wanachepuka kutumia mbinu tofauti na madhara yake hutegemea na vile mtu anafafanua maana ya kuchepuka.
Aina ya Marafiki Unafaa Kujiepusha Nao
Kama una marafiki ambao wana sifa kama hizi, jitahadhari!
Utajuaje Uko Kwenye Mahusiano Toxic?
Kama wapitia haya, jua uko hatarini!
Ishara Unatumika Vibaya Na Familia Yako
Wakati mwingine familia yako ndio watu wa kwanza wanaokudhalilisha maishani mwako.
Mambo Ya Kunyamazia Mahusiano Yakiwa Mabichi
Ni muhimu kuweka siri fulani wakati umeanza mahusiano na mtu wakati bado hamjazoeana.
Kwa Nini Ma Slay Queen Wanaolewa Sana Kuliko Wife Material?
Gumzo mtaani ni kwamba ma slay queen wananyakuliwa haraka zaidi kuliko wanawake wanaojulikana kama wife material. Je kuna sababu spesheli ?
Je Kuna Vazi La Heshima Ukienda Kwa Wakwe Zako?
Mila na desturi inashurutisha ya kwamba kuna sheria fulani za kimavazi ambayo ni lazima kuzingatia unapoenda kutembelea wakwe zako.
QnA: Sheria Za Mahusiano, Utabadilishana Passwords ama PIN za ATM?
Sheria katika mahusiano zimebadilika sana sana kwenye kizazi cha mitandao ya kijamii.
Utajuaje Hayuko Tayari Kuoa? Vijitabia vya Kuangalia
Kuna vitabia vinavyoonyesha kuwa mtu hayuko tayari kuoa. Tayarisha kalamu na karatasi ueze kujielimisha.
Vitu Vya Kupigwa Marufuku Wakati wa Dating
Hakuna haja ya kudanganyana na kuzungushana kiakili. Tuzingatie mambo haya tofauti.
Tabia za Kusinya Kwenye Arusi za Kiswazi!
Kuna vijitabia ambavyo vina aibu wakati wa arusi kule mitaani uswahilini.
Je Ni Sawa Kumposti Mpenzi Wako Kwenye Mitandao ya Kijamii?
Tunazungumzia kuhusu changamoto za kuanika mahusiano yako kwenye mitandao.
Pettiest Thing Umefanya Baada Ya Kuachana Na Mpenzi Wako
Saa nyingine hasira ni hasara.
Umerogwa Ama Ni Penzi La Kweli?
Kuna vitabia mtu hufanya katika mahusiano amayo yanafanya ujiulize kama akili iko sawa ama ni jinamizi.
Kwa Nini Wanawake Wanacheati?
Je unajua kuna takwimu zinazoelezea kuwa wanawake huwa na mbinu bora za kucheati?
Mambo Wanaume Wanayofanya Baada ya Mechi Yanayoboesha
Jumuika nasi tunapotoa mifano ya vitu amabavyo wanaume hufanya baada ya mechi yanayotuudhi.
Part 2-Nilimfumania Hotelini Akicheati
Kwenye Sehemu ya pili ya Stori ya masaibu ya mapenzi, Faiza anasimulia yake pia.
Part 1- Nilmfumania Hotelini Akicheati (Hadithi Njoo)
Hadithi njoo uwongo njoo! Mkamburi anatusimulia masaibu yake ya mpenzi wake wa zamani.
Fahamu Haya Kuhusu Uke Wa Mwanamke
Kipindi hiki kinahusu vitu tofauti unayofaa kujua kuhusu uke wa mwanamke.
Ushawahi Kuchepuka na Mume Wa Mtu? Mchezo Wa Maswali na Majibu (QnA)
Tujumuike kwenye mchezo huu wa kuchekesha tunapoulizana maswali tofauti kuhusu mahusiano.
Wasichana wa Bara Wanapenda Hela na Hawaheshimu Wanaume Wao! Part 2
Gumzo linaendelea… Warembo wa Bara inasemekana ni wapambanaji lakini hawana heshima kama wapwani
Vijana Wa Bara Wanatupenda ama Wanatudanganya? Part 1
Wiki hii tunazungumzia penzi baina ya wabara na wapwani. Hili penzi hua ni la kudumu ama ni kudanganyana tu???
Tips Kwa Mchepuko/Mpango Wa Kando
Wooyooooo! Leo kwenye mkahawa tuna toa tips kemkem kwa ma side chick ama michepuko
Mahusiano Toxic Kwa Nini Hutoki?
Hata Kama wampenda mumeo kiasi gani na waumia huna raha, ni wakati uangalie kama kuvumilia kutakuweka kwenye shida na kuhatarisha maisha yako.
Mwanaume Wake Anadanga? Utasema ama Hayakuhusu?
Wooyooooo! Ukijua shemeji yako ama mume/ boyfriend wa swahiba lako anamcheat utamwambia ama utanyamazia?











